Pages

Wednesday, January 20, 2016

TUDARCo 2015 Graduation Ceremony. First batch of Masters Programmes.

Monday, August 25, 2014

MARIO BALOTELLI ATUA RASMI ANFIELD

Kahama na No. 45 toka AC Milan.

Source of image: LiverpoolFC Website

Thursday, August 21, 2014

Thursday, August 14, 2014

Monday, July 30, 2012

Internet Training for mainland Journalists in Tanzania.

Hivi karibuni mmiliki wa Blog hii alikuwa katika mkoa wa Mbeya akiendesha mada inayohusu uandishi wa habari katika enzi ya intaneti. Mafunzo yalilenga kuwa fundisha waandishi wa mikoani namna ya kutumia mtandao kama chanzo cha habari na pia kama chombo cha habari.

Kuanzia leo nitakuwa naandika kile alichokisema kila mmoja baada ya mafunzo hayo hasa kwa kuzingatia matarajio yake na maoni juu ya mafunzo.

Kwa leo naanza na mwanahabari anayefahamika kwa jina la Esther Macha anayefanya kazi Business Times.

Na haya ndiyo aliyoyasema:

Kabla ya kuanza mafunzo haya baadhi ya viti sikuwa nadhielewa kabisa hivyoyalipoanza mafunzo haya kuna mambo ambayo yalikuwa mageni kwangu nimwezakuyafamu kwa kiasi kikubwa na kupata uelewa zaidi juu ya matumizi ya intanetkama mwandishi wa habari.
Kitemndo cha Misa kuandaa mafunzo haya kwa waandishi wa habari ni kizuri kwaniwengi wetu kabla ya kuanza mafunzo haya vitu vingi vilikuwa ni vigumu kuvielewalakini kwa sasa tumefunguka kw a baadhi ya programu ambazo tulikuwa hatujuikabisa lakini sasa na sisi tutakuwa walimu katika maeneo yetu ya kazi kwakuwafundisha wenzetu ambao hawana uelewa kuhusu masuala ya intanet kuanziasasa.

Juu ya umuhimu nilichojifunza nitaweza kukifanyia kazi kama ambavyo nimepatauelewa kuhusu masuala ya intanet kwani ni kitu ambacho ni kizuri kitawezakunisaidia katika masuala yangu ya kazi ambayo nillikuwa siwezi kuyafanya pindikablsa sijapata mafunzo haya, lakini sasa nitakuwa na uelewa zaidi na kuwamwalimu wa waandishi wenzangu.

Hiki niklichojifunza ni kitu muhimu sana ambacho ninapaswa kufanyanyia kazi kwakile ambacho nimejifunza lakini si kukalia kitu ambacho nimejifunza balinitahakikisha nafanya yale niliyojifunza kupitia semina hii muhimuniliyopatiwa.

Ushauri wangu kuhusu mafunzo haya  MISA TAN waongoze muda wa mafunzo kamahaya kwa waandishi wa habari ili waweze kuwa na uelewa zaidi kuhusu masuala yaintanet na pia wajaribu kuongeza idadi ya waandishi wa habari kwani wapowengine ambao hawana uelewa kuhusu uandishi wa intanet hali inayowafanya kazi zaoziwe ngumu kufanya ,katika niombe tena MISA TAN waombe wadhadhili wasaidie hiliili waandishi wa habari wapate kuwa na uelewa zaidi.

Sawa tunatambua kuwa bajeti ya MISA ilikuwa kidogo lakini kwa siku nyingineambayo mtakuwa mnataka kuandaa mafunzo kama haya ongozeni idadi ya waandishi namuda wa mafunzo ili tuweze kupata uelewa zaidi kwani mafunzo ni mazuri sana.

Mwalimu amejitahidi kufundisha kwa kadri ya uwezo wake  licha waandishi wengine kuwabize na kuandika stori bado aliweza kufundisha ili kila mmoja wetu aweze kukipata kile alichofundisha .

Tunawashukuru sana.

Sunday, July 29, 2012

Internet Training for mainland Journalists in Tanzania.

Hivi karibuni mmiliki wa Blog hii alikuwa katika mkoa wa Mbeya akiendesha mada inayohusu uandishi wa habari katika enzi ya intaneti. Mafunzo yalilenga kuwa fundisha waandishi wa mikoani namna ya kutumia mtandao kama chanzo cha habari na pia kama chombo cha habari.

Kuanzia leo nitakuwa naandika kile alichokisema kila mmoja baada ya mafunzo hayo hasa kwa kuzingatia matarajio yake na maoni juu ya mafunzo.

Kwa leo naanza na mwanahabari anayefahamika kwa jina la Johnson Jabir anayefanya kazi katika redio iitwayo Mbeya FM.

Na haya ndiyo aliyoyasema:


Jina: Johnson Jabir
Kutoka: Redio Mbeya FM
Nafasi: Mwana habari

SEMINA YA SIKU 3 KUHUSU MATUMIZI YA INTANETI KATIKATASNIA YA HABARI
 
Matarajio.

Unaposemamatarajio ni nini unategemea kupata ama kufanya kutoka upande Fulani ama chanzoFulani. Kwa upande wangu nalitegemea kuona kwamba sasa ufahamu wanguutafunguliwa katika masuala mbalimbali ya matumizi ya Intaneti hasa ukizingatiakwamba katika Ulimwengu wa Utandawazi kuna umuhimu mkubwa wa mimi kamamwanahabari kujua.
 
Painilitegemea kuona napokea changamoto za intaneti nje ya mkoa wa Mbeya, Tanzaniana nje ya Tanzania. Na vipi naweza kuzikabili changamoto hizo.

Aidhanilitarajia kuwa ningepata uzoefu wa walio katika kiwango cha  juu katika matumizi ya Kompyuta katika tasnia ya habari wakionyesha uzoefu.

Umuhimu.

Umuhimu wamafunzo haya nimeupata kwani mambao mengi nimefunguliwa sana ikiwemo suala zimala Intaneti kubadili jamii ya sasa, Utafiti kupitia intaneti mabapo zamaninilikuwa sifahanyi sana pia ujuzi wa kutumia barua pepe na changamoto zakelakini kubwa zaidi ilikuwa ni Usalama wa Teknolojia ya habari.

Umuhimu huounakuja kutokana na kwamba tunakoelekea katika tasnia ya habari kunahitajikujali muda, umakini katika kazi, uharaka wa kazi yenyewe, uhakiki wa kaziyenyewe na Biashara

Ushauri.

Semina hii imeletea changamoto kubwa sana kwa tasnia ya habari mkoaniMbeya hasa ukizingatia wengi kuna baadhi ya mambo tulikuwa tukifanya tu. Shukraniziwaendee waandaji wa mafunzo haya. Ushauri ni kwamba Semina hizi zifanyike kwamwaka mara mbili tu itasaidia. Kubwa zaidi ziwalengee waandishi wa habari marabaada ya kufanya utafiti wa mwandishi huyo wa habari sio kwasababu anafahamikatu bali hata anapokuwa katika chombo chake kwani kuna wengi ni waandishi wahabari wa “kimagumashi” hiyo imeshuhudiwa katika semina hii waliotarajiwa kujawengi hawakuja. Mbaya sana hii.

Mengineyo
 
KUNAchangamoto kubwa sana katika suala zima la KLABU za waandishi habari hivyokuzileta semina hizi na kutaka klabu zisimamie ni makosa makubwa sana lakininiwashukuru tena kwamba mlifanya jambo la maana kwani mimi sikio katika PressClub lakini ni wamndishi habari ambaye nimepata mafunzo hayo hii inadhihirishanamna ambavyo mmeona changamoto ndani ya PRESS CLUB nchini Tanzania muendeleehivyo hivyo kujikita katika waandishi habari wenye nia kweli ya kufanya kazikatika tasnia hii sio kwasababu ya posho za siku za semina kwani kumekuwa nanjaa kali sana kwa wengi wa watu kutaka kila semina aendee sio kwasababu yaumuhimu  wa ile semina   baliPOSHO.

MWISHO.

Monday, February 7, 2011

Torres from the Back Door

Photo by BBC Sports website

It's hard to think about this. Fernando Toress going out red, arms on the back of the neck made most of the LFC fans mad. It made a story of the month, the week and the day on the deadline day of the January transfer window. Now look at this he comes out from the back door blue, an arm covering his face. What news does this make to Chelsea fans? Tell me you LFC fans, how does this taste to you? I can imagine how bad day was for him. I can sympathize with him, not because I feel sorry for what happened to him during his debut at Chelsea, but because he made a wrong choice leaving the great LFC. YNWA LFC.

Monday, January 31, 2011

Torres to Chalsea


Photo by BBC Sport website.
Waswahili huseme "Mtoto akililia wembe mpe". Kwa maoni yangu Torres kuihama Liverpool na kwenda Chelsea ni sawa na kuingia chumba chenye giza wakati huna uhakika kama kuna balbu, huku ukiacha chumba chenye mwanga. Namalizia kusema kama waswahili wasemavyo kwamba "hasira hasara" au "Mkataa pema pabaya pamwita". Nawashauri uongozi wa LiverpoolFC wamwache aende maana si yeye aliyeianzisha Liverpool na imepata mafanikio makubwa hata kabla yeye (Torres) hajazaliwa. Sikio haliwezi kusidi kichwa. Napenda Kumnukuu Dalglish aliyesema leo tarehe 31 Januari 2011 kwamba "timu hii ni muhimu na kumbwa kuliko mtu yeyote".

Friday, December 17, 2010

Monday, February 22, 2010

TUDARCo Trip to IUCO Radio Studio Snaps

Mr. Kyando Moses arrive at IUCO in the first day of the trip.
Some of TUDARCo third year students in a discussion session on radio program production in one of IUCOs study areas.

Jenipha Kyala on the microphone as part of practicing radio broadcasting at Hope Radio studio.




On the third day of the trip students have departed for bus boarding back to TUDARCo